Sunday, January 31, 2021

Kila hatua ya ukuaji huanza na mbegu kufa na kuoza, ndipo inaanza mchakato wakuchanua tena. Mfano mzuri uko kwenye upandaji wa miti, mbegu hufukiwa ardhini na kufuata hatua zote zinazotakiwa kufuatwa ili mmea tarajiwa ukue kwa kupitia njia sahihi ukiwa umepokea na kupitia mchakato sahihi wa ukuaji na hatimae matunda.
Mti ambao utakuwa na matunda bora yanaweza kuuzika kwenye soko la ndani lakini hata kwenye soko la kimataifa kutokana nakupitia mchakato sahihi ambao huleta ustawi wenye manufaa.
Niliwahi kuhudhuria semina moja ambayo 

No comments:

Post a Comment