Monday, January 4, 2021

Mwaka 2011 nilifika St. Augustine University Jijini kwa mara ya kwanza kumsalimia kaka yangu George aliyekuwa akisoma hapo chuoni. Baada yakufika chuoni, nilivutiwa sana na mazingira ya chuo, pamoja na namna ambavyo kilikuwa kinapendeza, lakini hata baada yakufuatilia taarifa za ndani kabisa nikavutiwa sana na nilifanya maamzi kwamba baada ya masomo ya Advance ilikuwa lazima katika chuo hicho.
Mwaka 2013 ndiyo ulikuwa mwaka ambao nilipaswa kuanza masomo yangu ya chuo, lengo na mpango wangu haikuwa chuo kingine hapa nchini isipokuwa St. Augustine. Mchakato ulipofanyika nikama niliingiwa na roho yakutokujiunga na chuo, lakini rafiki yangu Jose Mdamanyi alinishauri nijiunge na chuo, lakinï muda wakutuma maombi ulikuwa uko ukingoni, lakini alijitahidi mpaka akafanikiwa kutuma maombi ya chuo. Baada ya wiki mbili baadhi ya majina yalirudi 

No comments:

Post a Comment