Monday, February 1, 2021

Fimbo ya Musa iligeuka kuwa hatua yakuvuka kwa wanawaesrael kufika ng'ambo ya bahari ya shamu, Mungu alimuuliza Musa una nini mkono mwako, Musa alijibu kwa ujasiri nakusema nina fimbo katika mkono wangu, uwepo wa fimbo ile katika mkono wa Musa, Mungu aliona kuwa yafaa kuwa mtaji wa hawa watu kupiga hatua nyingind kubwa kuelekea hatima ya maisha yao.
Wakati Mungu anaona hahitaji nguvu nyingi na kutafuta vifaa vikubwa ili kukausha yale maji ya bahari aliamua kuzipandia nguvu na elimu mpya kwenye fahamu za waesrael. Haikuwa rahisi kueleweka kama fimbo ile inaweza kuwa sababu ya maji ya bahari kugawanyika nakutengeneza njia, lilikuwa jambo la kufikirika kiasi fulani.
Wakati Mungu anaona uwezekano kupitia fimbo ya Musa kuwa unaweza kuwa moja ya mtaji wa kusogelea hatua kadhaa katika mwelekeo sahihi kuyaelekea malengo na kusudi la hatima.
Kuna mkulima mmoja mwenye shamba 

No comments:

Post a Comment