Sunday, February 7, 2021

Tengeneza mahusiano mazuri na watu kwa kadri uwezavyo bila kujali hadhi yao, uwezo, kazi na mazingira yao. 
Kwenye maisha yatu kila mtu ana mchango wa moja kwa moja au si wa moja kwa moja sana ila pia anaweza kuwa sehemu ya wewe kutimiza malengo, kukuepusha na hatari fulani au kukupa dili fuĺani.
Nakumbuka siku moja ndugu mmoja ambae tulikuwa tukiishi mtaa mmoja yeye akifanya kazi ya bodaboda, hatukuwa tumezoeana ila nilikuwa namsalimia kila nikipita, kumbe yeye alikuwa anafahamu kuwa angalau nimepiga hatua katika masuala ya elimu, hakujua exactly nimefanya taaluma ipi ila alikuwa anajua nimesogea mbele 

No comments:

Post a Comment