Saturday, January 8, 2022

KATAA KUISHI MANENO YA VINYWA VYWA WATU, ISHI KUSUDI LA MUNGU.

Nimekuwa nikijifunza kwa muda mrefu kupitia watu mbalimbali waliofanikiwa na hata bado hawajafakiwa na walioshindwa kabisa. Lengo la kujifunza kwa watu wote hawa nikutamani kujua sababu ambazo zimewafanya waliofanikiwa  kufanikiwa na wale walioshindwa kushindwa.

Katika mfumo wa maisha yetu hasa Tanzania kwetu, tumekuwana maisha ambayo yameathiliwa sana na mitazamo  ya watu, jamii na hata familia zetu wenyewe, kila jambo ambalo linatokea kwenye maisha yetu nyuma yake kuna athari  ya watu, jamii, imani zetu, elimu na hata mitazamo  ya namna ambavyo mtu anaishi.


No comments:

Post a Comment