Saturday, April 20, 2019

Nianze kwa kukunukuu moja ya maneno ambayo yamewahi kusemwa na Raisi wa Marekani Bwana Abraham Lincoln kwamba " *-

Great mind discuss ideas, Average mind discuss events and Small mind discuss people "-*

Maana yake ni hii " Akili kubwa hujadili mawazo, akili ya wastani hujadili matukio na akili ndogo hujadili watu" mwisho wa kunukuu.

Nukuu hii nimeikumbuka leo baada ya kukutana na vijana Fulani ivi ambao kwa kweli ni vijana wenye nguvu, wadogo na wenye fursa za kuwafanya kuwa na maisha mazuri yanayotegemea utendaji wa kazi, ufanisi, maarifa, ujuzi na utayari wa kufanya kazi bila woga wala mashaka.

Tunapoizungumzia dunia hii leo, imekuwa ni dunia ya ajabu sana kwa sababu ukiangalia kuna baadhi ya watu wake kwa waume wanapambana kuhakikisha wanafikia malengo, ndoto na kuishi maisha mzuri ambayo yanwapa fursa ya wao kufanya jambo lolote kwa sababu ya uhuru wa kifedha ambao wanajua kuwa njia sahihi ya kuishi maisha hayo ninkipambana had I tone LA mwisho lengo kutimiza malengo yake.

Tunapozungumzia hali ya maisha lakini kuna wengine kila Saa na kila

No comments:

Post a Comment