Saturday, May 23, 2020

MAMBO 8 MUHIMU YANAYOONYESHA MWANAUME ALIVYO MSINGI WA FAMILIA NA JAMII YOTE.

1. Ufalme wa Mungu unafundisha kwamba, Mwanaume ndiye msingi wa Nyumba- yeye hubeba kila kitu.

2. Mungu alimpa Mwanaume habari/Taarifa yote kuwafundisha wale waliokuja baada yake.

3. Mungu aliwaweka wanaume kama msingi wa familia, na wanahitaji kuwa waangalifu wasiruhusu nyufa zozote katika tabia zao ambazo zinaweza kusababisha maafa kwa familia zao.

4. Msingi hufanya kazi bila kuonekana. Kama msingi wanaume wanapaswa kufanya kile wanachostahili kufanya kwa wale walio karibu nao bila kujikuta zaidi.

5. Wanaume sio msingi tu bali pia nanga ya familia zao na watu wao.Nanga ni nguzo ya kuaminika.

6. Kwa nanga inamaanisha kufunga, kuona, au kupumzika "Nanga huleta  Usalama & Na huleta pumziko.

7. Nguvu ya nanga inaweza kupimwa tu wakati wa shinikizo kali.

8. Udhaifu wetu unafunuliwa Kupitia Mtihani na majaribu tunayopitia kila siku kwenye maisha yetu. Uimara wa mwanaume huiweka familia salama na kuishi kwa tumaini kubwa kwa sababu ngzo yao haiteteleki.

Mwanaume wewe ni nguzo katika familia yako jitahidi kuwa imara na mwenye kujenga na kutia matumaini kwa unaowaongoza.

Na Moses Zefaniya Mgema
Kurejelea kutoka kifungu cha Dk. Myles Munroe.

No comments:

Post a Comment