Friday, October 28, 2022

It is an incredible opportunity to use our children, childhood stage  to lay the strongest foundations where we can start putting our blocks, kujenga ndoto na maono yao kwenye lile kusudi kubwa la Mungu.....
Maono ni mpango wa Mungu toka mwanzo, ndiyo maana ili kuyakamilisha maono hayo alitoa mtaji unaoitwa kipaji. Kipaji ni moja kati ya mtaji wenye thamani kubwa ulimwenguni, namna ya kutambua na kukipa thamani kipaji, ni rahisi zaidi kugeuza jangwa na kutoa maji na watu sio tu wakaanza kunywa bali wakaanza kuogelea na kufurahia, the treasure of wealth on this earth....
White people have discovered this very beautiful mining thus ndiyo maana wanatumia nguvu na fedha nyingi kuwekeza kwenye vipaji kwa kuhakikisha wanavipa thamani ambayo uwekezaji huo umekuwa na returns nzuri kuanzia kwa mtu mmoja hadi taifa kwa ujumla.....
Familia nyingi zimeondoka na umasikini kwa sababu ya kipaji kimoja ambacho waliamua kwa nia na dhati ya moyo kuwekeza na kujenga misuri ya malezi yenye tija kwa watoto na sasa wanakula matunda ya uwekezaji wao bila kutumia nguvu.....
The world 🌎 is a better place for dynamic people and is an he'll for those people who don't copy with the speed of the World. Myles Munroe hakukosea kusema familia nyingi zinateseka katika giza nene la umasikini kwa sababu ya kushindwa kutambua kuwa yard chache kutoka kwenye milango ya familia zao kuna utajiri mkubwa umerudi bila kutumika kwa kukosa mtu mwenye jicho la tatu la kubaini na kutoa sapoti ya kuvitambulisha katika dunia nankuvipa thamani.
Ufukara na umasikini wa kwanza kwenye maisha ya mtu haupo kwenye ukosefu wa pesa, mali bali  upo kwenye fikra na mtazamo wa mtu husika.. 
Ni rahisi zaidi mtu kukubali samaki mmoja mkononi ili kutibu tatizo la  njaa ya masaa machache kuliko kujifunza namna ya kusuka nyavu zitakazomfanya kuingia mwenyewe ziwani na kuvua samaki na kuondokana na ukosefu wa chakula kila siku....
Malezi bora ya mtoto ni kuwekeza kwenye jambo litakalokuwa na tija zaidi kwenye maisha yake na familia yake. Dunia ya sayansi na teknolojia imebadilika sana, na inahitaji value na Uniqueness ili kuweza kuifanya kuwa sehemu salama na bora ya kuishi  kizazi cha leo na kesho.....
Mifano michache ambayo inaweza kufungua fahamu za watu wengi ni kwa watu wachache ambao kupitia mapambano yao na kujua thamani ya vipaji vyao leo wanaishi katika level ambayo pengine pasikutambua thamani ya vipaji vyao leo hii wangekuwa watu wa kawaida au watu wenye dhiki na taabu duniani.
Kipaji ni zaidi ya kazi, kipaji ni zaidi ya kuingiza kipato, tunapozungumzia kipaji tunazungumzia FULL PACKAGE (KIFURUSHI KAMILI) ambapo ndani ya kifurushi hicho kuna vifurushi vingi vidogo vidogo vye thamani kubwa ambavyo kifurushi kimoja pekee kikitumika vizuri kinaweza kumfanya mtu kuishi maisha bora kwa zaidi ya miaka Mia moja. Mfano
Kama mwanangu ana kipaji cha kucheza mpira wa miguu na nimekilea katika makuzi na 
misingi bora ya soka basi kuna matokeo makubwa yafuatayo.... 

THE DIFFERENCE IS THE ONE NEEDED
Ulimwengu umebadilika sana, scarcity of products is no longer there, available of products have created a huge of supply in the marketplace while demand is going proportional with the supply, so people in the market has a wide range of options to buy whatever they need, so ili mtu uuze the same products katikati ya watu wanaofanya same business na wewe, bidhaa yako lazima iwe na kitu Fulani cha tofauti ambacho kitawafanya watu kukimbilia kwako na kuwaacha wenegine wenye same products 

Saturday, October 22, 2022

Siku moja nilimwona Baba yangu akilia kwa uchungu sana, halafu amechoka kwa kiwango cha kutia simanzi, moyo uliumia sana, nikashindwa kujizuia kulia. Ilikuwa ni kati ya nyakati ngumu sana kwangu kwa sababu sikutegemea kama kuna siku ningeweza kushuhudia machozi ya Baba yangu na huzuni na uchovu uliokamata mwili mzima...

Niliamini Baba yangu ni shujaa, mtu mwenye nguvu na uwezo wa kuhimili milima na mabonde ya maisha, mbele yake sikuona wasiwasi wala mashaka kwa sababu nilijua kuwa nae basi niko salama mno. Sikuwahi kuhisi unyonge, wala mnyong'onyeo wa kutisha kiasi kile kutoka kwa Baba yangu lakini ndiyo ilikuwa imeshakuwa, Baba yangu machozi mengi na unyonge mkubwa mno.

Ikipita siku kadhaa mbele yetu, nikiwa nimetoka shule  nikamkuta Baba yangu amekaa chini ya mti pale kwenye uwa wetu. Baba alikuwa amerejesha tabasamu, nia na shauku kubwa usoni pale, nikaijua kweli ndani yake na furaha njema usoni pake. Kwangu mimi ilikuwa ni nafasi muhimu na nyeti sana kuitumia kumuuliza Baba yangu kwa nini siku ile alikuwa analia kwa uchungu, mateso na maumivu makali kiasi kile....
Baba, samahani sana kama nitakuudhi,!
Bila samahani mwanangu na kijana wangu...
Kwa nini siku ile ulikuwa unalia sana, wakati sijawahi kukuzoea katika hali hiyo na wewe mara zote husema mtoto wa kiume ni shujaa na sipaswi kulia kwa sababu ya changamoto zozote zile.....
Mwanangu Joseph, kuwa uyaone, na ukiona mtu mzima analia basi jua jambo linalomsibu ni zito na amekosa ufumbuzi nalo.....
Kijana....kwa hiyo Baba siku ile ulikuwa unapitia jambo ambalo hukuwa na majawabu nalo...Baba, ukikuwa mwanangu utaielewa hii sentensi na utayakumbuka maneno yangu haya siku hii hapa chini ya mwembe wetu.....
Ni stori ya kija a mmoja kutoka kusini mwa Tanzania aliyoisema wakati akielezea maisha ya familia yake, hasa Baada ya Baba yake kupoteza mwelekeo wa maisha kwa kupoteza mali na utajiri ambao alikuwa amejikusanyia kwa muda mrefu....anasema zilikuwa ni nyakati ngumu kuwahi kuzishuhudia katika familia yetu pasina kutegemea kama maisha hayo yangekuwa sehemu ya maisha yetu.....
Nilizoea maisha mazuri mno, nilimzoea Baba kama mbeba majukumu, nilizoea kumwona Baba akiwa mwenye ujasiri, nguvu, mpanaji na mwenye kuiona nuru ya familia yake muda wote kwa sababu aliamini katika nguvu, uwezo na nafasi aliyokuwa nayo.......
Kijana anasema, machozi ya Baba ndiyo yalikuwa sababu ya mimi kuacha shule na kuingia mitaani kwenye manispaa ya Mtwara kuhakikisha, napambania familia yetu, Baba aliniambia nimefanya kila kitu kwa juhudi, ubunifu, kujitoa na kuongeza masaa ya kufanya kazi lakini kila kukicha afadhali ya jana, nimetoa sadaka, nimetoa muda wangu kwa mambo ya Mungu lakini ni kama nafukia mali zangu, nimefika mahali nimenyoosha mikono juu, sina namna nyingine inaweza kuwa jawabu la maswali magumu kichwani mwangu.....
Haya maneno ndiyo yalinifanya mimi Joseph kuacha shule nikiwa kidato cha pili nakuingia mtaani kwa sababu Baba yangu alikuwa ana elekea kuchanganyikiwa kwa sababu ya mapito magumu na maumivu ya moyo ambayo alikuwa akiyapitia kwa wakati huo.
Ni ngumu sana kunielewa kupitia maandishi haya leo lakini ni maumivu makali mno ambayo yaliingia kwenye moyo wangu wakati wakati mzee ananisimulia hali ya familia yetu ilivyokuwa kwa wakati huo. 
Mwanzo Baba aliuza gari akasema nataka kununua gari nyingine nzuri zaidi ya hii, baadae akauza baadhi ya viwanja na mashamba na kigezo anataka kufanya makubwa zaidi ya vile alivyokuwa. Kumbe wakati huo Baba alikuwa anapambana sana kulinda hadhi na nafasi aliyokuwa nayo katika jamii. Wakati anafanya yote hayo alikuwa katika hali nje ya ufahamu wake wa kawaida, na aliamini katika kila uwekezaji na fedha mkononi.....
Wakati anaendelea kufanya hivyo, alijikuta akipoteza mali, fedha na assets zote za familia akizani anarejesha utajiri na hadhi ya familia kumbe anapoteza vyote. It so sad. Baada ya stori nyingi zenye Simanzi na uchungu mwingi kutoka kwa Baba yangu. Giza lilitanda mbele yangu, njia ilikuwa ni giza nene, kwenye ule mkeka sikuiona kesho yangu kupitia shule, kwa sababu pia nilikuja kubaini kuwa muda si mrefu ningesitishiwa masomo kwa sababu ya kutokulipa ada.....
Maumivu ya Baba yangu alikuwa ndani ya moyo wangu na haya yote yakitokea nilikuwa na umri wa miaka 15 tu. Umri mdogo ambao sikupaswa kuyasikia kabisa, yalikuwa ni maumivu yenye mchanganyiko wa moto, misumari, na nyembe nyingi ndani ya moyo wangu.....
Usiku huo sikuwa na hata Lepe la usingizi kila nikilala, usingizi hakuna, ndipo nikajipa ujasiri wa kuacha shule immediately ili kuipambania familia yangu. Kesho mapema mno nikaingia mtaani, kuanza kutafuta pesa kwenye vijiwe mbalimbali, nia na lengo kuu kumwokoa, Baba yangu kutoka kwenye umasikini.......



Friday, September 23, 2022

(Wakolosai 1:13)


NYUMBANI

NAMNA YA KUUTAMBUA WITO WAKO
NAMNA YA KUUTAMBUA WITO WAKO
Wito ni nafasi anayopewa mtu na Mungu kwa ajili ya kutimiza kusudi fulani, kama vile Uinjilisti, Utume, Unabii, Ualimu, uchungaji, nje ya hao kuna kama Udaktari, Udereva, Uraisi, Ushonaji, Ufundi wa aina yoyote ile n.k. (Efeso 4:11-12)

- Kila mtu aliyezaliwa hapa duniani anawito wake maalumu ambao Mungu amemwitia.
- Mungu anaangalia kutimiza kusudi lake alilomwitia mwanadamu hapa duniani.(Yeremia 1:12)
- Ukifanya kitu nje ya wito wako huwa Mungu anakuwa hawezi kuwa sambamba nawe maana hajakuitia hicho.
- Watu wengi maisha yao ni magumu kwa sababu hawajajua wito waao maalumu hapa duniani.

Mojawapo ya Mambo yatakayokutambulisha Wito ulionao.

Kuungwa mkono na watu kwa kile unachokifanya. "Tena walipokwisha kuijua ile neema niliyopewa; Yakobo na Kefa na Yohana, wenye sifa kuwa ni nguzo, walipa mimi na Barnaba mkono wa kuume wa shirika; ili sisi tuende kwa mataifa, na wao waende kwa watu wa tohara" (Wagalatia 2:9)

            Unapofanya jambo halafu watu hawakuelewi elewi jaribu kujiuliza mara mbilimbili, maana mara nyingi udhaifu wako siyo rahisi kuutambua wewe mwenyewe huwa watu wa pembeni ndiyo wanaweza kuutambua. huwezi kufanya jambo lolote halaffu asiwepo mtu wa kusema hapa uko sawa au hapa hauko sawa. ni lazima wawepo wenye kukutia moyo tu! kama ni cha Mungu.

            kama wewe ni mshonaji au unafanya biashara, utaona wateja ni wengi sana kwako na bidhaa yako inapendwa kuliko sehemu zingine.


Kusikia amani na Furaha unapokuwa unafanya hiyo kazi au huduma.
"Kwa sababu Karama za Mungu hazina majuto, wala mwito wake" Rumi 11:29
"Baraka ya BWANA hutajirisha, Wala hachanganyi na huzuni nayo" Mith 10:22
         haijarishi umeingia hasara kwa kutumia pesa yako kwenye hilo jambo au kama ni biashara, au ni huduma ya kiroho, mara nyingi hutaumia sana hata kama umepitishwa pagumu na ukatumia pesa yako.

Kuto kukata tamaa.
Mara nyingi hutajisikia kufedheka hata ukikutana na upinzani au vita, hutasikia kukata tamaa na kila ukijaribu kukata tamaa huwa unakosa amani kabisa ndani ya Moyo wako. kama unafanya biashara na ukaibiwa mtaji lakini ndani yako unasikia kuendelea tu kufanya hivyo, ujue huo ndiyo wito wako, usije ukajaribu kuingia kwenye ufundi au kufungua kanisa au kitu chochote nje na kile ulichosikia kukifanya. Wito wa daudi ilikuwa ni awe Mfalme, angalia vita iliyokuwepo kati yake yeye na Sauli lakini hakukata tamaa.
       Ukikata tamaa sehemu ambayo Mungu amekuweka makusudi na ukaenda sehemu nyingine huwezi kufanikiwa baraka za kimungu na Mungu hatakuwa upande wako katika kukutetea na kukupigania. si kwamba Mungu atakapokuweka hakutakuwa na vita, ila watakaopigana nawe watakuwa wanapigana na Mungu aliyekuweka hapo na uwe na uhakika watashindwa tu! lakini ukienda sehemu ambayo Mungu hajakuweka ujue watakaopigana nawe watakashunda kwani Mungu hayupo nawe.
        Fikiria sehemu ambayo wenzio wanasema ni ngumu sana kibiashara Mungu ndo anakwambia uende wewe, kama Isaka alivyoambiwa usiondoke hapa kwenda Misri baada yanjaa kutokea. Mwanzo 26.

Kukutukuza na kuinuliwa kupitia wito huo.
"Zawadi ya mtu humpatia nafasi; humleta mbele ya watu wakuu"
Kipaji au wito ulionao utakufanya upate marafiki wengi sana na wengine mpaka kwenda mpaka nchi za nje huko kwa ajili ya kile anachokifanya. kumbuka Suleiman hekima yake ilimfanya afahamike sana mpaka kwa mataifa jirani, Hivyo hata mkondo wa baraka unapitia kwenye wito wako. kama wewe ni muhubiri basi utaendelea kukaa karibu sana na wahubiri au watumishi mbalimbali, kama ni mwimbaji utajikuta unafahamika sana kwa watu.

Kufanikiwa vizuri kwa jambo hilo.
Mara nyingi huwa hutumii akili sana mpaka ukafanikisha vizuri jambomulitendalo, kwa mfano, mcheji mpira, fundi wa aina yoyote ile kama Mjenzi, fundi fenicha, n.k. unajikuta ukiifanya kazi yako inapendeza sana na kila mtu anaipenda sana.
        Kunawengine wanashona nguo kwa cherehani, wengine viatu, lakini katika ubora sana, huo ndio wito wako. upande wa huduma za kiroho ukakuta ukihubiri watu wengi wanaokoka, wanabarikiwa, wanaelewa, wanatamani uendelee kuongea tu, ujue huo ndiyo wito wako. yaani watu wasikwazike kwa kazi yako au waionekane hawajapenda. (Mkumbuke Dorkasi, 

Wednesday, September 7, 2022

SAYANSI, TEKNOLOJIA NA ULIMWENGU WA MASOKO NA MAHUSIANO KATIKA BIASHARA 1.

Miaka ya nyuma, Tanzania na ulimwengu mzima, uliwekeza sana nguvu kwenye vitengo vya umma, kwa maana ya ofsi za serikali na wakati mwingine taasisi binafsi ambazo hazikuwa na mlengo wa kibiashara. Vijana wengi walikwenda shule kwa lengo la kuajiriwa kwenye ofsi za serikali na taasisi mbalimbali ambazo zilikuwa zikijihusisha sana na masuala ya kusaidia jamii....

Lakini katika utandawazi na ukuaji wa teknolojia umekuja kubadilisha, mitazamo, mifumo ya maisha kwa namna ambayo dunia ilikuwa hajazoea hasa katika dunia ya tatu ambayo inabeba asilimia kubwa ya nchi masikini na duni kwa kiwango cha juu sana....

Mabadiliko ya sayansi na teknolojia yamekuja wakati ambao, hakuna maandalizi wala mapokeo ya mfumo mpya wa maisha ambayo ndiyo yameshika hatamu na kuiendesha dunia kwa namna nyingine kabisa....

Wakati mwalimu Julius Kambarage Nyerere na viongozi wenzake wanaipokea nchi hii kutoka kwa mwingereza mwaka 1961, asilimia kubwa ya watu katika Tanganyika walikuwa hawana elimu zaidi ya elimu ya ujuzi katika uchongaji vifaa mbalimbali kwa kutumia mikono yao na vifaa vichache ambavyo walivigundua. Hii ni kwa sababu katika kipindi cha ukoloni elimu ilitolewa kwa uchache saba hasa kwa watoto wa machifu na baadhi ya watu ambao walikuwa wakisaidia mawasiliano kati ya mkoloni na mtu mweusi......

Hivyo hata baada ya uhuru mfumo wa elimu, uliendelea kutolewa kwa mlengo wa kwenda kutumikia taasisi na serikali, watu walifundishwa elimu kwa lengo la kutumikia serikali na sivyo ilivyo leo ambapo duniani inamwitaji msomi kwenda kupngeza thamani kwenye kile ambacho tayari wengine wameshakifanya au kugundua kitu kipya  tofauti na miaka hiyo ambayo mwajiriwa alikwenda kufanya kazi ambayo tayari inafahamika inapaswa kufanywa kwa namna gani ili kufikia malengo...

Miaka imesogea, ujamaa ambao mwalimu Nyerere aliuhubiri na kuusisitiza kwa nguvu nyingi kwa miaka mingi umekosa nguvu mbele ya mfumo wa kikeptalisti, ambao unarahisishwa sana na kuongezeka kwa matumizi ya sayansi na vifaa vya kisasa ambavyo vinaifanya dunia kukimbia kwa kasi na kila mtu akiwa na shauku ya kutaka kuwa juu ya mwingine ukilinganisha na mfumo wa ujamaa ambao ulimwezesha kila mtu kupata sawa na mwingine hata kama hakustahili kupata jambo fulani.....

Ukuaji wa elimu nchini na ulimwengu mzima, unakuja na nguvu kubwa ya ufinyu wa ajira kwenye maofsi mengi, kuongezeka kwa matumizi ya mashine imekuwa miongoni mwa sababu kubwa ya wasomi wengi kukosa ajira kwenye mashirika ya serikali na mashirika binafsi, kwa sababu tu kazi za wengi zinamalizwa na matumizi ya mshine yenye uwezo wa kufanya majukumu ya watu wengi.
Wasomi kuongezeka, watu kuongezeka na mahitaji ya ajira kuwa juu yamepunguza sana ukamilifu wa mahitaji ya watu kwenye sokonla ajira, hivyo imepelekea watu wengi kubadili mwelekeo na mitazamo kwa moyo wa kupenda au wa kulazimishwa maana hakuna jinsi....

Mfumo wa kikeptalisti umejikita zaidi katika uzalishaji kwa maana ya biashara na uwekezaji kwenye viwanda vya manual na viwanda vya software na kila mtu anashauku ya kuwa juu kuliko mwingine. Sasa kutoka na mabadiliko hayo makubwa, watu wengi wamelazimika kuingia kwenye ujasirimali, biashara na kazi zingine nyingi nje ya ajira zinazoitwa rasmi, hii inakuja kwa watu wa kama zote, wasomi, wasio wasomi, walioajiriwa na wasioajiriwa. Hii ni mifumo ambayo inamlazimisha kila mtu kuishi kwenye nini duniani inataka sio wewe unataka nini....

Kutoka na hali hii kushamiri kwa nguvu, baadhi ya watu imewalazisha kuanza ujasirimali, biashara bila kujua ni kwa namna gani biashara inaendeshwa, ufanye nini ili kwenye ile biashara yako iweze kustawi na kudumu kwa muda mrefu na kuleta manufaa kwenye maisha....
Biashara nyingi zinaanzishwa lakini mwisho wa siku zinakufa au kukosa ustawi ambao ulitegemewa. Zipo sababu nyingi sana ambazo zinapelekea hali hiyo kuwa kubwa kiasi cha kutishia maisha ya watu kuwa kwenye umasikini wa kuogelea..

Baadhi ya sababu hizo ni....
1. Sababu za kimasoko..
2. Mitaji..
3. Uwekezaji usiokuwa na ufahamu ndani yake
Na mambo mengine mengi. Sasa ndugu Musa Zephania Mgema, msomi wa chuo kikuu kwenye masuala Mahusiano ya Umma na Masoko amekuandalia darasa huru ambalo kwa hakika litakupa jicho la tatu kwenye eneo la masoko kabla na baada ya kuanzisha baishara yako, unapaswa kufanya nini na ili kuifanya biashara yako ikuwe na kuongezeka kwa kiwango kikubwa na kukupa matokeo unayoyataka....

Kupitia 
Instagram ya @amaris_media1, 
Facebook page ya @Amaris Media 
Kwenye blog ya mosesmgema.blogspot.com na baadae tutakuwa na magroup ya WhatsApp, na twitter, LinkedIn na YouTube account basi tutakuwa na darasa huru lenye manufaa makubwa kwako wewe mfanyabiashara na mjasirimali...
Mgemamoses@gmail.com 
0755632375
0745311928
Karibu sana

Disclaimer: This is an example of a student written essay.
Click here for sample essays written by our professional writers.

Marketing: The backbone businesses

✅ Paper Type: Free Essay✅ Subject: Marketing
✅ Wordcount: 2225 words✅ Published: 16th May 2017

 Reference this

Share this:       

INTRODUCTION:

Marketing is the backbone of every business organization in the world. It is the act of understanding the customer needs and selling a product to satisfy his needs where in a market expansion happens. Marketing is managing profitable mass network of customers and their bonding with company. The goal of marketing is to attract new customers by promising high value products and to maintain existing customer base by providing best customer satisfaction.

Kellogg is the world’s leading producer of cereal and convenience foods. In my market analysis, Kellogg’s do not sell any Pasta foods. I present below my findings & marketing strategies and marketing planning if Kellogg’s release a new product line – Kellogg’s CUP PASTA

MARKETING DEFINITION:

Many people think of marketing only as selling and advertising. Marketing must be understood not in the old sense of making a sale-“telling and selling”- but in the new sense of satisfying customer needs. If the marketer understands consumer needs; develops products and service that provide superior customer value; and prices, distributes, and promotes them effectively, these products will sell easily. In fact, according to management guru Peter Drucker, “The aim of marketing is to make selling unnecessary.” Selling and advertising are only part of a larger “marketing mix”-a set of marketing tools that work together to satisfy customer needs and build customer relationship.

Get Help With Your Essay

If you need assistance with writing your essay, our professional essay writing service is here to help!

Essay Writing Service

Broadly defined, marketing is social and managerial process by which individuals and organizations obtain what they need and want through creating and exchanging value with others. In a narrower business context, marketing involves building profitable, value-laden exchange relationships with customers. Hence, we define marketing as the process by which companies create value for customer and build strong customer relationships in order to cap true value from customers in return.

MARKETING PLANNING:

Strategy & Market Planning

Marketing & Strategy Objectives

Kellogg’s Cup Pasta will be vastly growing Pasta brand as a best-selling product in UK. The marking line of innovative Cup pasta varieties plain pasta of types – spaghetti (thin strings), maccheroni (tubes or cylinders), fusilli (swirls), and lasagne (sheets) and filled ones of ravioli & tortellini. Kellogg’s Cup Pasta dishes have Pasta as the primary ingredient with other highly nutritious ingredients.

Kellogg’s Cup Pasta will invent the new & energetic pasta experience for customers of all ages from economic class by selling best quality products at an economic cost but not under the comprise of taste. Kellogg’s Cup Pasta will be available at all convenient locations for the people providing industry-benchmark customer service.

Marketing Strategy: Thomas Bonoma asserts, “Marketing strategy and implementation affect each other, while strategy obviously affects actions, execution also affects marketing strategies, especially over time. Although the dividing line between strategy and execution is a bit fuzzy. It is often not difficult to diagnose implementation problems and distinguish them from strategy deficiencies.” The various roles in the decision making process in Kellogg’s Cup Pasta’s marketing strategy are defined in the following list,

Responsible: Being the marketing manager, I take initiative for analysing the situation after one year of product birth in developing alternatives and assuming consultation with others and then make the initial recommendation on approval of decision.

Approve: I then accepts or rejects a decision before it is implemented or chooses from alternatives developed

Consult: I’m consulted or asked for substantive input before the approval of the decision but does not possess power.

Implement: I’m accountable for the implementation of the decision, including notification of other relevant participants concerning the decision.

Marketing Audit:

Market Situation Analysis: Kellogg’s Cup Pasta enters its 2nd year of operation in market. Marketing is crucial at this stage in terms of market expansion & profit. Kellogg’s Cup Pasta has an extensive offering of pasta varieties of different shapes & flavours. The fundamentals of Kellogg’s market is to provide customers, from kids to old aged people, a creative, attractive, pasta dishes at no cost of time in a sleek & stylish cup. It uses homemade pasta made of wheat flour & fresh vegetable extracts providing flavours of veg curry, chicken, prawn, and includes new releases of fruity, nutty, easy-digest, hot ‘ n’ chilly, peppery, cheesy.

Market Needs: Kellogg’s gives customers a vast range of handful selection of Cup pastas which are rich in nutrients and quality. Kellogg’s manages to satisfy the below needs of consumers,

Choice – Different lines of pasta to select for customers

Receptibility – Many distribution channels make Kellogg’s Cup Pasta to available to all its customers.

Customer service – Kellogg’s Cup Pastas are of high nutrient content & are safe to a person’s health.

Competitive pricing – Price must be relative to other pastas available in market.

Market Trends: Kellogg’s profits from emerging Organisation strategies and introduce new products or services to Pasta market. The market trend of pastas, salads, noodles is heading towards a more sophisticated customer. Nowadays, Kellogg’s Cup Pasta customers trends are based on the below,

Health consciousness. There is high rise in number of health club memberships & fitness clubs. Customers look out for healthier options in food but at no cost of taste. Cheap foods days are no more in today world. People recognise the benefit of healthy products.

Selection. Limited menu is unacceptable for people. They demand a wide range of selection to choose from for their everyday menu.

Food quality. Organic foods are on demand for customers. People recommend for qualitative products and search for high nutrient foods.

Semblance. Since presenting products to customers becomes more pervasive, potential customers tend to praise this virtue of the growing Kellogg’s Cup Pasta industry.

The Market: On analysis of market served by Kellogg’s Cup Pasta, the common characteristics of customers have been identified. Kellogg’s will utilise this information to understand the customers its serve, their specific needs, and how to sustain them by better communicating their needs. Analysis of Customer data collected shows potential customers as Kids, Students, Families, &Old Aged People.

Competition: Kellogg’s to acquire information about its competitor’s strengths and weakness. On survey by Kellogg’s to learn its three competitors: XX, YY and ZZ on five attributes, XX popular brand known for its good quality product but low in availing products at right time. YY was low on customer service and food quality. ZZ was not well branded though it was of good quality & price. In general, Kellogg’s should monitor three variables when analysing competitors,

Share of Market – The competitor share of the target market

Share of Mind – The percentage of customers who named the competitors in responding to the statement, “Name the first company that comes to mind in the industry”

Share of Heart – The percentage of customers who named the competitor in responding to the statement, “Name the company from which you would prefer to buy the product”

Components of Marketing Planning & Risk

2.1 SWOT Analysis: Below is the SWOT analysis done by Kellogg’s to analyse its strength, weakness, opportunity & threat in its Cup Pasta market,

Strengths

Thick bonding with providers of best-quality Pasta ingredients with quick delivery timings.

Multiple distribution channels to reach out customers

Location of Shops that sell Kellogg’s Cup Pasta in high street shops, malls, supermarkets.

Cup Pasta – rich quality & taste that exceed competitor’s offer in terms of cost, quality & appearance.

Weaknesses

Kellogg’s Cup Pasta lacks brand name though it’s widespread in market.

Low marketing budget for developing brand awareness.

Compete with Competitors using cutting edge technologies for marketing

Opportunities

Being a niche market, there is still good percentage of population where there is no awareness of Kellogg’s Cup Pasta.

Rise in opportunities in International marketing lines.

Innovativeness in creation of new Kellogg’s Cup Pasta flavours & reusability of Cups for customers

Gain advantage using competitor’s marketing techniques to increase its growth in market.

Threats

High competition from well-established Pasta & other competitors for Cup Pasta.

Economic slowdown that affects potential customers income

2.2 Marketing Objectives: When competitors of Cup Pasta are identified by Kellogg’s, it understands the competitor’s marketing strategies. It performs market analysis using Questionnaires & people analysis to find out the position of each competitor in Pasta market and the drivers for their current position in market. Kellogg’s designed its marketing objectives based on drivers – productivity & growth in present market, liquidity of cash through market channels and marketing leadership in technological & customer service fronts. Kellogg’s objectives are defined below,

Achieve & Sustain balanced growth in a quarter

Achieve minimum target of £80k – £90k sales bimonthly.

Set goals to bring in more new consumers of Cup Pasta while maintaining the existing consumers of Kellogg’s.

Realize a growth strategy of one manufacturing unit biannually.

2.3 Strategic Objectives: In the recent market trends, Logistics plays an important role for all business organizations. Kellogg’s recognizes the same impact of logistics in its market of Cup Pasta too. Logistics is important to a company as Kellogg’s so as to gain and maintain competitive superiority in its market. Kellogg’s incorporates new objectives of improvised logistics approach for better performance and high deliverance into-long-term business strategies that help Kellogg’s to achieve substantial profits in its Cup Pasta market. Kellogg’s strength of strong relationship with its retailers & wholesalers is due to its efficient logistics processes. Say, it can deliver Cup Pasta to a sale point within deliverance window of 2 -3 hours. This effective logistics planning & process help Kellogg’s Cup Pasta market to expand & reach its market objective of steady growth rate than its competitors in Pasta market as well as to maintain low implementation costs related with Cup Pasta production.

Find Out How UKEssays.com Can Help You!

Our academic experts are ready and waiting to assist with any writing project you may have. From simple essay plans, through to full dissertations, you can guarantee we have a service perfectly matched to your needs.

View our services

2.4 Core Marketing Strategy:

Target Markets: A Marketer can rarely satisfy everyone in a market. Marketers analyse different groups of people and segment them based on factors of geography, demography, psychology, and behaviour. Once Kellogg’s identifies its market segments, it decides its target markets as the one which gives Kellogg’s greatest prospect for Cup Pasta. Kellogg’s Cup Pasta customers are hungry individuals from age groups of 5 to 50. All age groups enjoy Kellogg’s Cup Pasta. A customer’s income, age, working pattern and proximity to the retailers for purchase and customer’s needs & trends are the key factors for Kellogg’s to decide its target market for Cup Pasta.

Competitor Market & Its Advantages:

Pasta Competitor XX: This is an Italian Ready-To-Cook product that has a limited selection of pasta recipes. With limited selection and best price rates, the dishes are good.

Pasta Competitor YY: A producer of chilled Italian meals, pasta and sauces based in Victoria with a decent Ready-To-Cook pasta selection, however quality is not good enough to capture more markets. General Mills acquires Pasta Master in 2011

Pasta Competitor ZZ: A restaurant with a wide range of pasta dishes based in Italy. Though taste & quality is average, price is high in comparison with its competitors.

Kellogg’s Cup Pasta has created authentic recipes of pastas that are unique and high-quality to its competitors. The factors that contribute to this difference of Cup Pasta from its competitor’s product are,

Cup Pasta is made using flour from fresh Indian Wheat along with fresh, organic vegetables extracts.

High-nutrient ingredients used by Kellogg’s to prepare pasta are all imported & are of top qualities.

 

Share this:       

Cite This Work

To export a reference to this article please select a referencing stye below:

Related Services

View all 

DMCA / Removal Request

If you are the original writer of this essay and no longer wish to have your work published on UKEssays.com then please: