Friday, October 28, 2022

It is an incredible opportunity to use our children, childhood stage  to lay the strongest foundations where we can start putting our blocks, kujenga ndoto na maono yao kwenye lile kusudi kubwa la Mungu.....
Maono ni mpango wa Mungu toka mwanzo, ndiyo maana ili kuyakamilisha maono hayo alitoa mtaji unaoitwa kipaji. Kipaji ni moja kati ya mtaji wenye thamani kubwa ulimwenguni, namna ya kutambua na kukipa thamani kipaji, ni rahisi zaidi kugeuza jangwa na kutoa maji na watu sio tu wakaanza kunywa bali wakaanza kuogelea na kufurahia, the treasure of wealth on this earth....
White people have discovered this very beautiful mining thus ndiyo maana wanatumia nguvu na fedha nyingi kuwekeza kwenye vipaji kwa kuhakikisha wanavipa thamani ambayo uwekezaji huo umekuwa na returns nzuri kuanzia kwa mtu mmoja hadi taifa kwa ujumla.....
Familia nyingi zimeondoka na umasikini kwa sababu ya kipaji kimoja ambacho waliamua kwa nia na dhati ya moyo kuwekeza na kujenga misuri ya malezi yenye tija kwa watoto na sasa wanakula matunda ya uwekezaji wao bila kutumia nguvu.....
The world 🌎 is a better place for dynamic people and is an he'll for those people who don't copy with the speed of the World. Myles Munroe hakukosea kusema familia nyingi zinateseka katika giza nene la umasikini kwa sababu ya kushindwa kutambua kuwa yard chache kutoka kwenye milango ya familia zao kuna utajiri mkubwa umerudi bila kutumika kwa kukosa mtu mwenye jicho la tatu la kubaini na kutoa sapoti ya kuvitambulisha katika dunia nankuvipa thamani.
Ufukara na umasikini wa kwanza kwenye maisha ya mtu haupo kwenye ukosefu wa pesa, mali bali  upo kwenye fikra na mtazamo wa mtu husika.. 
Ni rahisi zaidi mtu kukubali samaki mmoja mkononi ili kutibu tatizo la  njaa ya masaa machache kuliko kujifunza namna ya kusuka nyavu zitakazomfanya kuingia mwenyewe ziwani na kuvua samaki na kuondokana na ukosefu wa chakula kila siku....
Malezi bora ya mtoto ni kuwekeza kwenye jambo litakalokuwa na tija zaidi kwenye maisha yake na familia yake. Dunia ya sayansi na teknolojia imebadilika sana, na inahitaji value na Uniqueness ili kuweza kuifanya kuwa sehemu salama na bora ya kuishi  kizazi cha leo na kesho.....
Mifano michache ambayo inaweza kufungua fahamu za watu wengi ni kwa watu wachache ambao kupitia mapambano yao na kujua thamani ya vipaji vyao leo wanaishi katika level ambayo pengine pasikutambua thamani ya vipaji vyao leo hii wangekuwa watu wa kawaida au watu wenye dhiki na taabu duniani.
Kipaji ni zaidi ya kazi, kipaji ni zaidi ya kuingiza kipato, tunapozungumzia kipaji tunazungumzia FULL PACKAGE (KIFURUSHI KAMILI) ambapo ndani ya kifurushi hicho kuna vifurushi vingi vidogo vidogo vye thamani kubwa ambavyo kifurushi kimoja pekee kikitumika vizuri kinaweza kumfanya mtu kuishi maisha bora kwa zaidi ya miaka Mia moja. Mfano
Kama mwanangu ana kipaji cha kucheza mpira wa miguu na nimekilea katika makuzi na 
misingi bora ya soka basi kuna matokeo makubwa yafuatayo.... 

THE DIFFERENCE IS THE ONE NEEDED
Ulimwengu umebadilika sana, scarcity of products is no longer there, available of products have created a huge of supply in the marketplace while demand is going proportional with the supply, so people in the market has a wide range of options to buy whatever they need, so ili mtu uuze the same products katikati ya watu wanaofanya same business na wewe, bidhaa yako lazima iwe na kitu Fulani cha tofauti ambacho kitawafanya watu kukimbilia kwako na kuwaacha wenegine wenye same products 

No comments:

Post a Comment