Your a problem solver.......
Wakati mwingine ni ngumu kuelewa mtu anapokupa scenario ya changamoto Fulani amabayo anapitia, au amewahi kupitia kwenye maisha yake.
Unaweza usimwelewe sana kwa sababu unahisi jambo hilo ni dogo au hakuna binadamu anaweza kuchomoka kwenye changamoto ambayo amejaribu kukusimulia, hii ni kwa sababu inaonekana kuwa kuubwa sana.
Kuna mambo mtu anapitia kwenye safari yake yake ya maisha akikusimulia unaweza kusisimkwa na mwili na hata mwili mzima.
Lakini kiukweli maisha bila changamoto maana ya maisha inakosekana kabisa, watu wanakwenda shambani, maofsini, shuleni, na kila mahali lengo ikiwa ni kutatua changamoto.
Unalowa na mvua, unachomwa na jua, miiba na kadhia mbalimbali lengo ni kutatua changamoto njaa.
Watu wanakwenda maofsini mapema, wanachelewa kulala wakiwa wanafanya mambo Fulani lengo ni kutatua changamoto.
Maisha hasa maana yake ni Changamoto, huyo ndiyo maana ya maisha kwenye dunia hii
...........................
> Huwezi kuwa bora bila kupitia changamoto.
> Ubora na uwezo wako huwezi julikana bila kutatua changamoto Fulani kwenye maisha.
> Waliofanikiwa walitatua changamoto na matatizo ya watu kwenye jamii ndiyo zikawafanya kuwa hapo walipo.
>Kuna watu wanafurahia maisha lakini nyuma ya furaha hizo kuna watu walitatua changamoto.
√••••••••••
Mwanadamu amejengwa na ameaminiwa na Mungu kuwa problems solver. Kwa hiyo kama kuna changamoto unapitia basi mshukuru Mungu kwa kuruhusu changamoto hizo.
Usiruhusu changamoto zikakurudisha nyuma, zikakukatisha tamaa, na kukuondoa kwenye mipango, malengo na maono yako.
Wapo watu makazini, mashuleni kwenye biashara wao ni kukatisha watu tamaa, hawakubali kazi zako, wapondaji, wanakudharau nk. Yote hayo yabaki kuwa mawe ya kukanyaga na kukuvusha kwenda ng'ambo ya pili.
Huwezi kuwa imara kama
Ukiwa umefanya kazi maisha yako yote kujenga familia na urithi, huwezi kuruhusu kivuli cha mtu wa tatu kiiharibu katika miezi michache tu. Niligundua kuwa mabadiliko ya ghafla ya tabia ya mume wangu yalikuwa kuingiliwa kiroho, si tu mgogoro wa katikati ya maisha.
ReplyDeleteNiliwasiliana na Mystic Kakaa kwa ajili ya uingiliaji kati wa kibinafsi. Kazi yake ilikuwa ya upasuaji. Alitambua kivuli na kukiondoa kabisa bila drama yoyote ya umma. Ndani ya siku 5, umakini wa mume wangu ulirudi nyumbani kwetu na katika mustakabali wetu. Ikiwa unalinda maisha yenye thamani kubwa na unahitaji bwana anayeelewa busara, wasiliana naye kwa: dawnacuna314@gmail.com
WhatsApp: +2349046229159
Yeye ndiye kiwango cha dhahabu.
Kwa uchawi wa upatanisho wa uhusiano/ndoa.
Uchawi wa kumfanya mpenzi wako wa zamani/mwenzi wako aombe msamaha.
Uchawi wa kumrudisha mpenzi wako/kumvutia mpenzi mpya.
Uchawi wa kurejesha mali/pesa zilizoibiwa.
Mabadiliko ya umbo/Uchawi wa kutoweka.
Uchawi wa kushinda bahati nasibu/kesi ya mahakama. Na zaidi