Sunday, February 25, 2024

Imenichukua miaka 3 nikiwa nasoma vitabu mbalimbali vya historia za watu ambao wamekuwa ni History makers and History breakers, watu ambao dunia imekuwa ikiwazungumzia kuwa ni ICON people kwa mambo makubwa ambayo wameyafanya na kuacha alama za kukumbukwa hapa Duniani.
■ Asilimia kubwa za hawa watu wanatokea familia duni sana, familia ambazo kuishi kwake ni pale tu unapoamka hai ndo usalama na mtaji wako wa siku.
■Ni watu ambao wamelala njaa, wanajua nini maana ya dhiki, nini maana ya ugumu wa maisha nk.

Katika nyakati ngumu na nyakati zenye giza nene na lisilo na matumaini bado waliamini kuwa hakuna hata mmoja anaweza kubadili historia ya maisha ya mtu isipokuwa mtu mwenyewe.

Katika ulimwengu tulio nao leo, nguvu binafsi, juhudi, kutamani kuwa uliyekusudiwa na Mungu basi jua inakuhitaji wewe uvuje jasho jingi sana ambalo litakutambulisha ulimwenguni.

Hakuna namna rahisi inaweza kukupa nafasi ya kufurahia 

No comments:

Post a Comment