Sunday, February 19, 2023

Teknolojia na sayansi umeturahisishia sana maisha katika karne hii ya 21, kila kitu kinapatikana kwa urahisi zaidi hasa kwenye eneo la kupata maarifa na ujuzi mpya muda wowote ambao utataka kupata maarifa na ujuzi huo...
Elimu ya maisha, elimu ya biashara, afya, siasa na kila eneo maarifa na ujuzi unafundishwa kupitia platforms mbalimbali za mitandaoni, tofauti na miaka ya nyumba ambapo watu wenye maarifa ni wale tu ambao walikuwa na bidii ya kwenda maktaba kusoma vitabu, kusoma magazeti nk....

Katika kupanuka kwa vyanzo vya habari duniani umechangia sana kuyafanya maisha kuwa ya ushindani katika biashara, siasa, dini na kwenye maeneo mengine ya maisha, hii ninkwa sababu watu wamekuwa wakijifunza kwa mifano na kuona kumbwa, utajiri na kuwa na mali ni haki ya kila mtu hapa duniani.

Kupata maarifa ni pesa, kupata ujuzi ni hela lakini maarifa haya yanapatikana kwa njia ambayo wakati mwinginr unaweza kuwa unalipa gharama pasipokupata maumivu sana lakini ndiyo unajikuta unalipia gharama za kujifunza na wewe kupata maarofa, mfano unaweza usitoe pesa kwa ajili ya kujifunza 

No comments:

Post a Comment