Saturday, July 18, 2020

NGUVU YA MUNGU NDANI YA MKRISTO.

SOMO: NGUVU YA MUNGU NDANI YA KANISA.
 2 Wakorintho 2 :4…., Wakorintho 4:20
NGUVU ni uweza au mamlaka ya kufanya jambo Fulani,
 sisi kama wakristo tunahitaji nguvu ya kutuwezesha kutenda mapenzi ya Mungu na kazi za Mungu duniani, na Biblia inasema hatuwezi kutenda , kwa usahihi duniani kama hatutakuwa na nguvu za Mungu.

unapoongelea ukristo mahali jua unaongelea nguvu kwa maana ukristo ni nguvu.

Injili ya Yesu kristo imejengwa katika nguvu za MUNGU.
Kama tulivyoona ukristo sio maneno matupu tu au tunavyokili bali ukristo umejengwa kwenye nguvu ya Mungu.. nguvu ya kuponya, kufufua, kufungua na kuokoa..
na ndio maana mtume Paulo anasema Wathethalonike 1:8
1 Timotheo 1:7.. ´´Mungu hakutupa roho ya hofu bali roho ya nguvu ´´
na ndio maana biblia inasema kuwa ´´nanyi mtapokea nguvu akishawajilia juu yenu Roho Mtakatifu
Waefeso 3:20.. ´´ kulingana na NGUVU itendayo kazi ndani yetu´´ ndani ya kila mtu aliyeokoka kuna nguvu ya Mungu..
Waefeso 6:10 ´´katika uweza..¨ uweza unamaanisha nguvu.
1 Wakorintho 1:18 ¨ujumbe wa msalaba kwao wanaopotea ni upuuzi lakini kwetu sisi tunaoamini ni nguvu ya Mungu¨ kumbe kwenye msalaba wa Yesu Kristo kuna uweza uletao wokovu. Msalaba wa Kristo una nguvu.

UKIWA NA NGUVU YA MUNGU NDANI YAKO UNAWEZA KUFANYA HAYA.
i.)Msamaha.
 Luka 23: 34 - alisamehe.. watu wa dunia wanaweza kukwambia nimekusamehe lakini sitasahau lakini Yesu akiwa msalabani na katikati ya maumivu makuu ya msalaba akasema ´´ baba wasamehe maana hawajui walitendalo
ii.)Nguvu ya Mungu ndani yetu inatupa nafasi ya kukumbukwa na Yesu.
 Luka 23:42-43 - ¨
na kwa andiko hili tunajifunza kuwa nguvu ya Mungu inatupa nafasi ya kukumbukwa kwenye Ufalme wa Yesu.Mungu anakumbuka maombi yako, kazi yako nk.
iii.)Hutakufa
Luka 23:46, Kwa mtu yeyote aliyeokoka ,amekabidhiwa kwenye mikono ya Yesu kristo.. na hutakufa mpaka siku ya Bwana , kwasababu roho yako imekabidhiwa kwenye mikono ya Yesu Kristo.. huu ni ulinzi ambao kila mtu aliyeokoka anakuwa nao.. tupo mikononi mwa Mungu na hakuna mtu awezaye kututoa kutoka katika mikono ya Yesu Kristo..
iv.) Ukiwa na nguvu ya Mungu unajenga mahusiano na Mungu.
Yohana 19:29 Yesu akiwa msalabani , alikuwa anajali mahusiano.. hii inaonyesha kuwa msalaba wa Yesu unatupa usalama ndani ya mahusiano na wazazi na watu wengine.. Msalaba wa Yesu unatupa mahusiano bora . ukimwomba Mungu akupe nguvu ya mahusiano.. Kumbe msalaba ulileta Nguvu ya upatanisho.. Nguvu ya Mungu inaleta watu pamoja , pamoja, familia pamoja.

v) Nguvu ya Mungu inatupa kiu ya kumtafuta Mungu. Yohana 19:28
vi) Ukiwa na Nguvu ya Mungu unakuwa na mamlaka Luka 10:19
vii) Unapata uwezo wa kuombea na watu kupokea uponyaji
Luka 5:17..... Luka 4:18

Friday, July 3, 2020

Faida za kumtumikia Mungu

The benefits of serving God - Part 1
The apostle Paul made an intriguing statement in his letter to Timothy,
'This know also, that in the last days perilous times shall come. For men shall be lovers of their own selves...' (2 Timothy 3:1, 2) Pay attention to these words, 'Perilous time shall come because men shall be lovers of their own selves.' Our minds automatically go to the world when we hear and read these words especially when we see what is going on in the secular but the same can be applied to the church. Today a lot of believers in the church are happy to only show up for Sunday services and most are self serving and wallowing in self indulgence without ever giving a thought to serving the Lord who redeemed them from sin and eternal damnation.  That is not a criticism of the modern church but a matter of fact statement.
The Christians of yesteryear had a different concept of serving God. They would lay their lives down for the Gospel. It would not be unusual for a young soul to be converted years ago and be aflame to reach the world for Jesus. This was in spite of a lack of technological and communication advancement as well as the travel facilities that we enjoy today. Yet the Gospel reverberated around the world as wild fire. Millions upon millions of souls were added to the kingdom of God. Today we have everything at our disposal and we are not taking advantage of it because many in the church are simply not passionate about serving the Lord.
God has done much for us in the saving of our lives by sending his own Son as our redeemer and sin-bearer. To serve God is not a grievous or hard task because God is a great boss and a great rewarder. In fact the Bible reveals to us that there are great benefits in serving God.
And ye shall serve the Lord your God , and he shall bless thy bread, and thy water; and I will take sickness away from the midst of thee . There shall nothing cast their young, nor be barren, in thy land: the number of thy days I will fulfil . I will send my fear before thee, and will destroy all the people to whom thou shalt come, and I will make all thine enemies turn their backs unto thee. And I will send hornets before thee, which shall drive out the Hivite, the Canaanite, and the Hittite, from before thee.
Exodus 23:25-28
These verses could not be any more clearer to us that serving God is for our betterment and profit. Here are a few benefits of serving God. When you serve God,
He will bless your bread and water
He will take away sickness from your midst
There will be no miscarriage
There will be no barrenness
There will be no premature death
You will have long life and fulfill destiny
Your enemies will turn away from you
THERE IS NO MAN OR WOMAN WHO SERVES GOD THAT WILL WALK AWAY EMPTY HANDED. GOD WILL NEVER OWE YOU ANYTHING
Here is another great undeniable verse that shows the profitability of serving God,
 If they obey and serve him, they shall spend their days in prosperity, and their years in pleasures.
Job 36:11
I want to encourage YOU to get involved in serving God. You may ask,
'So how do I serve God?' Allow me to give you seven ways,
1. Serve God with your life
2. Serve God in your church
3. Serve God with your talents
4. Serve God with your time
5. Serve God with prayers and fastings
6. Serve God with your money - tithes and offerings
7. Serve God by serving others
You will never be at a loss when you serve God. He has done much for us and he will do much more for you. I want to challenge you with the words of President John Kennedy. In 1961 during his Inaugural Address, President Kennedy uttered these powerful words, 'My fellow Americans, ask not what your country can do for you, ask what you can do for your country.'
Today, I am asking you, 'My fellow believers, ask not what your God can do for you, ask what can you do for your God.'
A few words about Glenn