Monday, January 22, 2024

Dunia imebeba mambo mengi sana, kati ya mambo hayo mengi kuna watu pia wa aina tofautitofauti, wazuri na wema lakini pia kuna wabaya au wasio na maadili.

Ulimwengu umetupa machaguo mengi ambayo yanatufanya kuchagua kwenye angle mbalimbali za maisha, na uchaguzi ambao tunafanya kwenye haya maisha hudetermine au kuamua either hatima na mwelekeo wa maisha kwenye angle husika, tulipokuwa watoto wazazi, ndugu na hata walimu wetu walitusisitiza sana kusoma kwa bidii ili kesho zetu ziwe bora, wazazi wakatuambia mambo mengi kwa habari ya ibada na mambo mengi.

Na kila mtu alivyochagua utotoni ndiyo ilivyo hata kwenye mwelekeo wa maisha yake ya sasa na yanayoendelea. Whether mazuri, yenye unafuu na tumaini au mabaya kabisa. It was a choice of everyone na uchaguzi huo huwa na matokeo yake.

The way i am ni kwa sababu ya jana yangu, hata kesho yangu itaamuliwa na leo yangu, how i make right choices and make a follow up on whatever i decide to make and follow the path. 

Katika nyakati hii: kuna mambo matatu ambayo as a man i need to make sure i decide well 
1. Eneo la maisha yangu na Mungu (Relationship with God).
2. Eneo la Finance (economy)
3. Eneo la mahusiano (Ndoa)

A man was created as visionary human being, vision bearer, Kiongozi, a man to support and make his family fulfl  its purpose as family (family purpose).

Ili familia iwe bora na hodari katika angle zote za maisha kuanzia mke, watoto na hata uchumi na mahusiano ya familia na Mungu basi it needs a strong man who knows his role and he is perfoming his duties perfectly.

Hivyo mwanaume mkamilifu na mwenye maono chanya, usahihi wake huanzia kwenye uchaguzi wa mke sahihi ambae ataambatana nae kwenye safari ya kujenga familia bora na imara katika maeneo yote ambayo nimeyataja hapo juu.

Unapokuwa kiongozi (Kwa nature a man is leader of a family) lazima pia ujue mtu sahihi ambae utaambatana nae katika ujenzi wa taasisi bora inayoitwa familia. Mfano raisi anapochaguliwa, moja ya kigezo cha kupima ufanisi wake katika kujenga mwelekeo wa nje ni katika eneo la uteuzi wa wasaidizi wake. Hao ndiyo hudetermine either atafanikiwa au ataanguka.

Hata kwenye familia kibiblia kabisa, mwanaume mwenye hekima, malengo, maono na mwenye kuitambua njia yake (Kama kiongozi)  basi hata uchaguzi wa mke wake mara zote huwa  ni wa viwango vya juu mno.

Nimeishi miaka 30 sasa tangu nimezaliwa, nimesoma, nimeokoka, nimejibidisha katika kusoma neno la Mungu ili kumwelewa Mungu katika cycle zote za maisha yetu duniani, nimesoma na kusikiliza kujua nafasi ya family kingdom ( kingship & Queenship) how it works successful and how can be in a hall of hell when you make a mistake as a family father. 

Imenipa somo zuri sana kupitia utulivu na kukubali kujigunza kwa unyenyekevu, uongozi wa familia, uongozi katika maeneo mengine ya maisha (Hapa nikatambua kuwa nahitaji kuwa Mume bora, Baba bora na kiongozi bora wa familia yangu, kuanzia mke, watoto wangu na hata kwa ndugu zangu both upande wa mke wangu na hata kwetu pia). Na hapa ndipo  nilimwambia Mungu sifa za mke wangu ni zipi when i was at the age of 20 after my A-level studies).

Ukizaliwa mwanaume mwenye sifa za kiume lazima uwe kiongozi bora, mfano bora, mwenye kuimarisha na kusapoti familia yako kwa asilimia 100, iwe katika ukame au ustawi you must be a strong man and who is fighting for the happiness and joyful of a family.

Ubora wa mume kwa mke na ubora wa Baba kwenye familia haupimwi kwa ubabe, mamlaka aliyo nayo, nafasi yake kama kiongozi, kuwapatia watoto na mke mahitaji yao ya chakula, kulala, afya na mahitaji mengine kama hayo, hapana pamoja na hayo yote, mume bora ni yule ambae anaweza kutambua uwezo na ubora wa mke wake na namna ambavyo anaweza kumsapoti, kumwi-encourage, to be there for her always na kuhuishi maono yake bila woga.

Hii imekuwa mission yangu siku zote na ndiyo maana hata kuingia kwenye mahusiano ya ndoa imenichukua muda mrefu sana kwa sababu wherever i think huyu ni yeye basi i came to find some missing katika kiwango kikubwa cha sifa za mke sahihi wa maisha yangu.

Ashukuriwe Mungu mwaka 2022 when i was asking God about geting this job, nilimwambia tu katika mahitaji yangu kwake ( 1naomba nipate kazi ni wakati mwingine sahihi kwangu, 2 ukinipa kazi nataka nioe ni wakati wangu sahihi kupata mwenza wa maisha ambae ana sifa nilizowahi kuandika 10 iliyopita).

The good thing nilipata kazi na mwaka jana january 2023 nilikutana na mwanamke ambae moyo wangu ulishuhudiwa huyu ndiye yule mwenye zile sifa za kwenye ile notebook ( It was 25 au 24 January pale fpct kibaoni.

It was a surprise to me kwa sababu nilikuwa kwenye mazingira ambayo haikuwa rahisi kwangu kuamini au kukubaliana na mazingira ambayo yalikuwa yanatokea lakini it was a time.

Imenichukua muda mrefu sana kukubaliana na hali ambayo sikuitegemea na ndiyo maana imechukua muda mrefu sana (mwaka) nakuambia tuonane naghairi au naweza kuja then napotezea tu kwa sababu kuna some issues i wanted to confirm from you na hata kwenye mazingira yangu menngine.

Sasa ni wakati sahihi sana
Agatha its a right time wa mimi na wewe kuanza mahusiano rasmi ili tuweze kufunga ndoa takatifu mbele ya madhabahu ya Mungu wetu.

Najua katika nyakati kama hizi huwa ni nyakati ngumu sana kwa mwanamke kuamua either kwa sababu yuko kwenye mahusiano mengine, au yuko dilema kwa sababu ya vijana wengi kupeleka maombi kwake, anaifikiria familia yake na namna ya kuamua kwa ajili ya kesho yake pia. Haya huwa ni maswali magumu mno ambayo mwanamke huwaza na kufikri na wakati mwingine kubaki bila majibu sahihi.

But i present this message to you kwa mara ya kwanza kabisa na kwa ajasiri kuwa wewe ndiye mke wangu wa maisha na i can't wait to see my the rest of my life spending with you Baby love.

You such an amazing woman, wanderful, charming with great love, passionate na mwenye huruma nyingi sana. It was year of studying you, it was a year of learning a lot from you, majibu Mungu hadanganyi na wewe ni mtu sahihi sana kwangu.

Nikupe uhakika wa mambo machache sana
▪︎Mimi kwako ni mwanaume bora sana. Zile sifa za mwanaume wa ndoto zako ni mimi.
▪︎Ninachokuhakikishia wewe ni kwamba, utakuwa ni miongoni mwa wanawake wachache ambao ndoa zao zitakuwa ni ndoa bora na za mfano.
Kwangu wewe ni malikia na sifa za malikia ni to have joyful life.
Nakupenda Agatha P. Andrea
Dada zangu wanakupenda and they can't wait to see you, ile picha ya moro niliyoweka status tulipotoka Moro was such an amazing to her.
Nakupenda  nakupenda tena
Allow me niwe mkwe wa Mama Agatha na Baba Andrea prosper.

Soon its soon